Rais wa Tanzania ambaye ndiye mgombea urais wa chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) John Magufuli (kati) akiwasili kutoa hotuba wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba jijini Dodoma, Tanzania, mnamo Agosti 29, 2020. Mamlaka ya mawasiliano Tanzania imeviandama vyombo vya habari kwa faini na kuvifungia kabla ya uchaguzi. (AFP/Ericky Boniphace)

Uchaguzi ukikaribia mamlaka ya mawasiliano Tanzania inatumiwa kama fimbo dhidi ya vyombo vya habari