Waandishi wa habari waliovalia vifaa kinga wakisubiri karibu na majengo ambapo wakazi wanawekwa karantini kwa sababu ya ugonjwa wa COVID-19 mjini Kiev, Ukraine, mnamo Aprili 28, 2020. (Reuters/Gleb Garanich)

Janga la COVID-19 likiendelea, mustakabali wa uhuru wa habari si mzuri. Hapa ni mambo kumi makuu