russia

2 results

Ushauri wa Kiusalama wa CPJ: Kuripoti kuhusu janga la virusi vya corona

Imebadilishwa mara ya mwisho Mei 20, 2021 Shirika la Afya Duniani (WHO) liliutangaza mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya COVID-19 (maarufu pia kama virusi vipya vya corona) kuwa ulioenea kote duniani, yaani pandemic mnamo Machi 11, 2020. Hali duniani inaendelea kubadilika, na mataifa yanaongeza au kulegeza vikwazo vya usafiri na/au hatua nyingine za kujikinga huku…

Read More ›

Janga la COVID-19 likiendelea, mustakabali wa uhuru wa habari si mzuri. Hapa ni mambo kumi makuu

Na Katherine Jacobsen Janga la ugonjwa wa COVID-19 limewapa kazi kubwa maafisa wa afya, limeathiri uchumi wa dunia, na kutumbukiza serikali kote duniani kwenye mzozo. Kadhalika, janga hili limeathiri jinsi wanahabari wanavyofanya kazi, miongoni mwa mengine kutokana na hali kwamba mamlaka katika mataifa mengi zimetumia ugonjwa huo kuminya uhuru wa vyombo vya habari. Baadhi ya…

Read More ›