election

2 results

Uchaguzi ukikaribia mamlaka ya mawasiliano Tanzania inatumiwa kama fimbo dhidi ya vyombo vya habari

Na Muthoki Mumo/Mwakilishi wa CPJ Africa kusini mwa Sahara Mnamo Agosti 27, siku ya pili ya kipindi rasmi cha kampeni Tanzania bara kuelekea uchaguzi wa Oktoba 28, mamlaka ziliamrisha vituo vya Clouds TV na Clouds FM kuahirisha matangazo yao ya kawaida na badala yake kuomba radhi mfululizo hadi saa sita usiku na baada ya hapo kusitisha matangazo kabisa kwa wiki moja.  …

Read More ›

Ushauri wa Kiusalama wa CPJ: Kuripoti kuhusu janga la virusi vya corona

Imebadilishwa mara ya mwisho Mei 20, 2021 Shirika la Afya Duniani (WHO) liliutangaza mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya COVID-19 (maarufu pia kama virusi vipya vya corona) kuwa ulioenea kote duniani, yaani pandemic mnamo Machi 11, 2020. Hali duniani inaendelea kubadilika, na mataifa yanaongeza au kulegeza vikwazo vya usafiri na/au hatua nyingine za kujikinga huku…

Read More ›