1 results
Imebadilishwa mara ya mwisho Mei 20, 2021 Shirika la Afya Duniani (WHO) liliutangaza mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya COVID-19 (maarufu pia kama virusi vipya vya corona) kuwa ulioenea kote duniani, yaani pandemic mnamo Machi 11, 2020. Hali duniani inaendelea kubadilika, na mataifa yanaongeza au kulegeza vikwazo vya usafiri na/au hatua nyingine za kujikinga huku…