2020

  

Uchaguzi ukikaribia mamlaka ya mawasiliano Tanzania inatumiwa kama fimbo dhidi ya vyombo vya habari

Na Muthoki Mumo/Mwakilishi wa CPJ Africa kusini mwa Sahara Mnamo Agosti 27, siku ya pili ya kipindi rasmi cha kampeni Tanzania bara kuelekea uchaguzi wa Oktoba 28, mamlaka ziliamrisha vituo vya Clouds TV na Clouds FM kuahirisha matangazo yao ya kawaida na badala yake kuomba radhi mfululizo hadi saa sita usiku na baada ya hapo kusitisha matangazo kabisa kwa wiki moja.  …

Read More ›